ZAKATUL-FITRI
Zakatul-fitri ni nini?
Ni vibaba vinne vya chakula (kinacho pendwa sana) katika mji.
Ni nani anae wajibika kutoa Zakatul-fitri?
Anae wajibika kutoa zakatul-fitri ni kila muislamu alie huru ambae ana ziada katika chakula chake( cha siku ya Idd) kwa ajili yake yeye na walio mlazimu yeye kuwalisha miongoni mwa waislamu. Na atatoa kwa ajili yake, na pia awatolea wale waislamu . yeye kuwalisha miongoni mwa waislamu.
Ni wakati gani ni wajibu kutoa zakatul-fitri?
Zakatul-fitri hutolewa kuanzia magharibi ya siku ya mwisho wa Ramadhani.
WALLAHU AALAMU*******YURY'S LAW.
No comments:
Post a Comment