Hakika ghadhabu hutokana (asili ya ) ya shetani, na hakika shetani kaumbwa kutokana na moto, na hakika moto unazimwa kwa maji, basi akighadhibika mmoja wenu na akatawadhe au anywe maji na ikiwezekana anyamanze kisha amlani shetani na kama hawezi kukaa katika sehemu hiyo basi aondoke penye mzozo huo ulio msababishia hiyo ghadhabu.
Mtume s.a.w atakae zuwia ghadhabu na yeye anaweza kuizuia basi ataitwa na mwenyezi mungu mtukufu juu ya vichwa vya viumbe siku ya kiama ( ewe fulani ), achagua katika mahurul-aini ( wanawake wa peponi ) ampendae.
Kwahiyo ndugu zangu tujifunze kuzuia hasira zetu ili tueze kufanikiwa siku ya qiyama, AAMIN.
No comments:
Post a Comment