SALA YA JENEZA.

                                SALA YA JENEZA (SALA YA MAITI)

Mambo gani ni wajibu kufanyiwa maiti?
Ni wajibu kufanyiwa matayarisho, nayo ni;
        1.kukoshwa
        2.kukafiniwa
        3.kusaliwa
        4.kuzikwa.

Vipi husaliwa sala ya maiti?
1.Anuilie anaesali  kuwa anamsalia huyo maiti pamoja na kupiga takbir-Allahu akbar
2.ASome suratil faatiha
3.Aseme Allahu Akbar
4.Amsalie mtume S.a.w
5.Aseme Allahu akbar
6.Amwombee dua maiti
7.Aseme Allahu Akbar
8.Atoe salamu

             WALLAHU AALAM*******YURY'S LAW

No comments:

Post a Comment