SALA YA MSAFIRI.
Vipi atasali anae safiri?
Inajuzu kwa msafiri kupunguza rakaa mbili kwa sala Adhuhuri, laasiri na Isha. Na pia inajuzu kuzichanganyisha ( kuzisali kwa pamoja) sala ya Adhuhuri na laasiri, na magharibi kuisali pamoja na Isha kwa wakati mmoja. inajuzu kufanya hivyo kwa kutanguliza au kuchelewesha.
Ni ipi nia ya sala ya msafiri?
nia yake ni ; nina sali sala ya faradhi ya adhuhuri, rakaa mbili kwa kutanguliza pamoja na kukusanya ( au kuchelewesha pamoja na kujumuisha) kwa hali ya kupunguza kwa ajili ya mwenyezi mungu ( allahu akbar)
WALLAHU AALAM*******YURY'S LAW
SALA YA JAMAA
SALA YA JAMAA.
Ninini hukumu ya sala ya jamaa?
Ni faradhi kifaya kwa wanaume wakaazi wa mji na uchache wake ni Imamu na maamuma.
Shuruti za sala ya jamaa ni ngapi?
shurti zake ni saba, ambazo ni;
1.maamuma anuie kumfuata imamu
2.maamuma ajue vihamo vya imamu japo kwa msaada (kwa kusikia sauti au kuona safu za mbele)
3.maamuma asiwe mbele ya imamu
4.Amkaribie Imamu ikiwa si msikitini
5.kusiwe na kizuizi baina yao
6.Maamuma amfuate imamu wake
7.Asimfuate yule ambaye itamlazimu kuja kuilipa( kuirejea) sala (baadae)
WALLAHU AALAM*******YURY'S LAW.
Ninini hukumu ya sala ya jamaa?
Ni faradhi kifaya kwa wanaume wakaazi wa mji na uchache wake ni Imamu na maamuma.
Shuruti za sala ya jamaa ni ngapi?
shurti zake ni saba, ambazo ni;
1.maamuma anuie kumfuata imamu
2.maamuma ajue vihamo vya imamu japo kwa msaada (kwa kusikia sauti au kuona safu za mbele)
3.maamuma asiwe mbele ya imamu
4.Amkaribie Imamu ikiwa si msikitini
5.kusiwe na kizuizi baina yao
6.Maamuma amfuate imamu wake
7.Asimfuate yule ambaye itamlazimu kuja kuilipa( kuirejea) sala (baadae)
WALLAHU AALAM*******YURY'S LAW.
SALA.
MAFUNDISHO YA SALA.
Nani inamlazimu sala?
Sala humlazimu kila muislamu alie baleghe, mwenye akili timamu, na ni juu ya waliii wa mtoto(mzee)kumuamrisha kusali baada ya kutimia umri wa miaka saba na kumpiga pindi akiwacha(kusali)baada ya kutimia umri wa miaka kumi.
sharti za sala ni ngapi?
sharti za sala ni tano, ambazo ni;
1.kujitaharisha(kwa kuepukana)na hadathi kubwa na ndogo .
2.kutahirika kwa kiwili wili,nguo na pahala pa kusalia(kutokana) na najisi.
3.kustiri utupu.
4.kujua kuingia kwa wakati.
5.kuelekea kibla.
Idadi ya rakaa za witri ni ngapi?
Idadi ya rakaa za witri ni kumi na moja na wakati wake ni baada ya sala ya insha hadi kuchomoza alfajiri.
Nyakati ngapi hua ni haramu kusali?
Hua ni haramu kusali katika nyakati tano, ambazo ni :
1.wakati wa kuchomoza jua mpaka linyanyuke kiasi cha mkuki.
2.wakati jua linapokuwa lipo sawa sawa na kitu(saa sita) isipokuwa siku ya ijumaa, mpaka lipinduke jua.
3.wakati jua linapo kuwa manjano mpaka linapo kuchwa( magharibi).
4.baada ya sala ya alfajiri mpaka lichomoze jua.
5.baada ya sala ya alaasiri mpaka lichwe jua.
Nguzo za sala ni ngapi?
Nguzo za sala ni kumi na nne.ambazo ni
1.kusimama kwa anae weza katika sala ya faradhi.
2.nia
3.takbiratul ihram
4.kusoma suratil faatiha
5.kurukuu
6.kujituliza( katika rukuu, itidali na sijda)
7.itidali
8.kusujudu
9.kukaa kitako baina ya sijda mbili
10.kukaa kitako kwa ajili ya tahiyatu ya mwisho
11.tahiyatu ya mwisho
12.kumsalia mtume katika tahiyyatu ya mwisho
13.salamu ya kwanza
14.utaratibu ( kwa mpangilio wake huu kuanzia nguzo ya 1-13)
**itidali ni kisimamo baada ya kutoka katika rukuu kabla ya kusujudu.
Ni zipi sunna za sala kabla yake
Sunna za kabla au nje ya sala ni Adhana na Iqama.
Ni zipi sunna za ndani ya sala?
Sunna za ndani ya sala zipo aina mbili ambao ni ; Ab'adh na hay-ati
Sunna za Ab'adh za sala ni ngapi?
Sunna hizo ni tatu, ambazo ni ;
1.Tahiyyatu ya kwanza
2.kumsalia mtume katika tahiyyatu ya kwanza
3.kunuti katika sala ya asubuhi na katika sala ya witri kwenye nusu ya pili ya mwezi wa ramadhani
Sunna za hay-ati ni ngapi?
Sunna za hay-ati ni kumi na tano , ambazo ni ;
1.kunyanyua mikono miwili sawa na mabega wakati wa takbiratul ihram, wakati wa kurukuu, wakati wa itidali, na wakati wa kusimama kutoka katika tahiyyatu ya kwanza.
2.kuweka mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto chini ya kifua au juu ya kitovu.
3.Dua ya kufungulia sala
4.kusoma " Audhu billahi minashaytani......
5. kuitika Amin
6.kusoma sura baada ya suratil faatiha katika rakaa ya kwanza na ya pili
7.kudhihirisha sauti katika mwahala mwake na kutodhihirisha sauti mwahala mwake.
8.kusema Allahu akbar wakati wa kuinama ( kwenda katika rukuu) na wakati wa kunyanyuka.
9.kusema samiallahu liman hamidah katika itidali
10.kusema sub-haana rabbial Adhiym katika rukuu mara tatu, na kusema sub-haana rabiyal A'la katika sijda mara tatu.
11.kuweka mikono miwili juu ya mapaja hali ya kuukunjua mkono wa kushoto na kuukunja wa kulia isipokuwa kidole cha shahada.
12.kuukalia mguu wa kushoto ( katika vitako vilivyomo katika sala)
13.kuupitisha mguu wa kushoto utokezee kuliani ( na kulikalia tako la kushoto ) katika tahiyyatu ya mwisho.
14.salamu ya pili
15.Nia ya kutoka katika sala
Ni yepi mambo yenye kubatilisha sala?
Mambo yenye kubatilisha sala ni manne,ambayo ni ;
1.kusema kwa kukusudia
2.kufanya vitendo vitatu mfululizo
3.kula au kunywa
4.kuacha nguzo miongoni mwa nguzo za sala au kukosa shuruti miongoni mwa shuruti za sala.
Ninini hukumu ya alie acha nguzo ya sala kwa kusahau?
Ataileta nguzo hiyo atakapo ikumbuka na atasujudu " sijdatis-sahwi"
Ninini hukumu ya alie acha sunna kwa kusahau?
hatailipa sunna hiyo bali atasujudu sijidatus-sahwi
Ninini hukumu ya alie acha sunna ya hay-ati?
Hataileta hiyo sunna wala hataleta sijidatus-sahwi.
Ninini hukumu ya asie weza kusimama katika sala ya faradhi?
Atasali kwa kukaa kitako, akishindwa atasali kiubavu ubavu, akishindwa atasali kichali chali, ama sala ya sunna inajuzu kwa mwenye kuweza kuisali kwa kukaa, au kusimama au kiubavu ubavu.
wallahu allamu*******yury's law
Nani inamlazimu sala?
Sala humlazimu kila muislamu alie baleghe, mwenye akili timamu, na ni juu ya waliii wa mtoto(mzee)kumuamrisha kusali baada ya kutimia umri wa miaka saba na kumpiga pindi akiwacha(kusali)baada ya kutimia umri wa miaka kumi.
sharti za sala ni ngapi?
sharti za sala ni tano, ambazo ni;
1.kujitaharisha(kwa kuepukana)na hadathi kubwa na ndogo .
2.kutahirika kwa kiwili wili,nguo na pahala pa kusalia(kutokana) na najisi.
3.kustiri utupu.
4.kujua kuingia kwa wakati.
5.kuelekea kibla.
Idadi ya rakaa za witri ni ngapi?
Idadi ya rakaa za witri ni kumi na moja na wakati wake ni baada ya sala ya insha hadi kuchomoza alfajiri.
Nyakati ngapi hua ni haramu kusali?
Hua ni haramu kusali katika nyakati tano, ambazo ni :
1.wakati wa kuchomoza jua mpaka linyanyuke kiasi cha mkuki.
2.wakati jua linapokuwa lipo sawa sawa na kitu(saa sita) isipokuwa siku ya ijumaa, mpaka lipinduke jua.
3.wakati jua linapo kuwa manjano mpaka linapo kuchwa( magharibi).
4.baada ya sala ya alfajiri mpaka lichomoze jua.
5.baada ya sala ya alaasiri mpaka lichwe jua.
Nguzo za sala ni ngapi?
Nguzo za sala ni kumi na nne.ambazo ni
1.kusimama kwa anae weza katika sala ya faradhi.
2.nia
3.takbiratul ihram
4.kusoma suratil faatiha
5.kurukuu
6.kujituliza( katika rukuu, itidali na sijda)
7.itidali
8.kusujudu
9.kukaa kitako baina ya sijda mbili
10.kukaa kitako kwa ajili ya tahiyatu ya mwisho
11.tahiyatu ya mwisho
12.kumsalia mtume katika tahiyyatu ya mwisho
13.salamu ya kwanza
14.utaratibu ( kwa mpangilio wake huu kuanzia nguzo ya 1-13)
**itidali ni kisimamo baada ya kutoka katika rukuu kabla ya kusujudu.
Ni zipi sunna za sala kabla yake
Sunna za kabla au nje ya sala ni Adhana na Iqama.
Ni zipi sunna za ndani ya sala?
Sunna za ndani ya sala zipo aina mbili ambao ni ; Ab'adh na hay-ati
Sunna za Ab'adh za sala ni ngapi?
Sunna hizo ni tatu, ambazo ni ;
1.Tahiyyatu ya kwanza
2.kumsalia mtume katika tahiyyatu ya kwanza
3.kunuti katika sala ya asubuhi na katika sala ya witri kwenye nusu ya pili ya mwezi wa ramadhani
Sunna za hay-ati ni ngapi?
Sunna za hay-ati ni kumi na tano , ambazo ni ;
1.kunyanyua mikono miwili sawa na mabega wakati wa takbiratul ihram, wakati wa kurukuu, wakati wa itidali, na wakati wa kusimama kutoka katika tahiyyatu ya kwanza.
2.kuweka mkono wa kulia juu ya mkono wa kushoto chini ya kifua au juu ya kitovu.
3.Dua ya kufungulia sala
4.kusoma " Audhu billahi minashaytani......
5. kuitika Amin
6.kusoma sura baada ya suratil faatiha katika rakaa ya kwanza na ya pili
7.kudhihirisha sauti katika mwahala mwake na kutodhihirisha sauti mwahala mwake.
8.kusema Allahu akbar wakati wa kuinama ( kwenda katika rukuu) na wakati wa kunyanyuka.
9.kusema samiallahu liman hamidah katika itidali
10.kusema sub-haana rabbial Adhiym katika rukuu mara tatu, na kusema sub-haana rabiyal A'la katika sijda mara tatu.
11.kuweka mikono miwili juu ya mapaja hali ya kuukunjua mkono wa kushoto na kuukunja wa kulia isipokuwa kidole cha shahada.
12.kuukalia mguu wa kushoto ( katika vitako vilivyomo katika sala)
13.kuupitisha mguu wa kushoto utokezee kuliani ( na kulikalia tako la kushoto ) katika tahiyyatu ya mwisho.
14.salamu ya pili
15.Nia ya kutoka katika sala
Ni yepi mambo yenye kubatilisha sala?
Mambo yenye kubatilisha sala ni manne,ambayo ni ;
1.kusema kwa kukusudia
2.kufanya vitendo vitatu mfululizo
3.kula au kunywa
4.kuacha nguzo miongoni mwa nguzo za sala au kukosa shuruti miongoni mwa shuruti za sala.
Ninini hukumu ya alie acha nguzo ya sala kwa kusahau?
Ataileta nguzo hiyo atakapo ikumbuka na atasujudu " sijdatis-sahwi"
Ninini hukumu ya alie acha sunna kwa kusahau?
hatailipa sunna hiyo bali atasujudu sijidatus-sahwi
Ninini hukumu ya alie acha sunna ya hay-ati?
Hataileta hiyo sunna wala hataleta sijidatus-sahwi.
Ninini hukumu ya asie weza kusimama katika sala ya faradhi?
Atasali kwa kukaa kitako, akishindwa atasali kiubavu ubavu, akishindwa atasali kichali chali, ama sala ya sunna inajuzu kwa mwenye kuweza kuisali kwa kukaa, au kusimama au kiubavu ubavu.
wallahu allamu*******yury's law
KUTAYAMMAMU.
KUTAYAMMAM.
Nini maana ya kutayammam?
Kutayammamu ni kupangusa uso na mikono kwa mchanga ulio safi (tohara) badala ya kutawadha au kuoga ( kwa kutumia maji).
Faradhi za kutayammam ni ngapi?
Faradhi za kutayammam ni tano,
1.nia
2.kuhamisha mchanga kuufikisha kwenye kiungo chenye kupanguswa
3.kupangusa uso
4.kupangusa mikono miwili mpaka kwenye vifundo viwili
5.kufuatanisha
Ni wakati gani inapaswa kutayammamu?
Inapasa kutayammamu iwapo:
1.yanapo kosekana maji
2.inapo hofiwa kutumiwa maji kwa baridi au ugonjwa
3.yanapo hitajika kwa ajili ya kiu ( kunywa) wanyama watukufu
Ni mambo gani hubatilisha kutayammam?
Hubatilika kutayammam kwa yale yote yenye kubatilisha udhu na kuyaona maji unapo ingia wakati wa sala na kuritadi.
wallahu aalamu.
yury's law.
Nini maana ya kutayammam?
Kutayammamu ni kupangusa uso na mikono kwa mchanga ulio safi (tohara) badala ya kutawadha au kuoga ( kwa kutumia maji).
Faradhi za kutayammam ni ngapi?
Faradhi za kutayammam ni tano,
1.nia
2.kuhamisha mchanga kuufikisha kwenye kiungo chenye kupanguswa
3.kupangusa uso
4.kupangusa mikono miwili mpaka kwenye vifundo viwili
5.kufuatanisha
Ni wakati gani inapaswa kutayammamu?
Inapasa kutayammamu iwapo:
1.yanapo kosekana maji
2.inapo hofiwa kutumiwa maji kwa baridi au ugonjwa
3.yanapo hitajika kwa ajili ya kiu ( kunywa) wanyama watukufu
Ni mambo gani hubatilisha kutayammam?
Hubatilika kutayammam kwa yale yote yenye kubatilisha udhu na kuyaona maji unapo ingia wakati wa sala na kuritadi.
wallahu aalamu.
yury's law.
KUOGA
KUOGA
Kuoga ni nini?
Kuoga ni kuosha kiwili wili chote kuanzia juu ya kichwa hadi mwisho wa nyayo zake.
Faradhi za kuoga ni ngapi?
Faradhi za kuoga ni tatu, ambazo ni;
1.kutia nia wakati wa kuosha sehemu ya mwanzo ya kiwili wili
2.kuondosha najisi kwenye kiwili wili
3.kufikisha maji katika sehemu yote ya mwili pamoja na nywele.
Ni ipi nia ya kuoga?
Ni kusema: nanuia kuoga kwa ajili ya kuondosha hadathi kubwa,lakini nia hiyo haitakiwi itamkwe kwa ulimi ila inatakiwa iwe ndani ya moyo wako.
Ni ipi hadathi kubwa?
Hadathi kubwa ni kila yenye kuwajibisha kuoga.
Ni yepi yenye kuwajibisha kuoga?
Yenye kuwajibisha kuoga ni JANABA, HEDHI, NIFASI, KUZAA, NA KUFA.
Je, janaba ni nini?
janaba ni josho linalo patikana baada ya kugusana tupu mbili au kutokwa na manii kwa kusudia au bila kukusudia .
Nini hedhi?
Hedhi ni damu yenye kumtoka mwanamke baada ya kutimia miaka 9 kwa ajili ya uzima na ada ya kila mwezi.
nifasi ni nini?
Nifasi ni damu inayo mtoka mwanamke baada ya kuzaa.
mambo gani ni haramu kwa mwenye janaba?
Niharamu kwa mwenye janaba: kusali, kutufu, kugusa msahafu, kusoma qurani na kukaa muskitini.
Ni mambo gani ni haramu kwa mwenye hedhi na nifasi?
Ni haramu kwa mwenye hedhi na nifasi kusali, kufunga na kufanya yale yote yalio haramu kwa mwenye janaba.
wallahu aalamu.
yury's law.
Kuoga ni nini?
Kuoga ni kuosha kiwili wili chote kuanzia juu ya kichwa hadi mwisho wa nyayo zake.
Faradhi za kuoga ni ngapi?
Faradhi za kuoga ni tatu, ambazo ni;
1.kutia nia wakati wa kuosha sehemu ya mwanzo ya kiwili wili
2.kuondosha najisi kwenye kiwili wili
3.kufikisha maji katika sehemu yote ya mwili pamoja na nywele.
Ni ipi nia ya kuoga?
Ni kusema: nanuia kuoga kwa ajili ya kuondosha hadathi kubwa,lakini nia hiyo haitakiwi itamkwe kwa ulimi ila inatakiwa iwe ndani ya moyo wako.
Ni ipi hadathi kubwa?
Hadathi kubwa ni kila yenye kuwajibisha kuoga.
Ni yepi yenye kuwajibisha kuoga?
Yenye kuwajibisha kuoga ni JANABA, HEDHI, NIFASI, KUZAA, NA KUFA.
Je, janaba ni nini?
janaba ni josho linalo patikana baada ya kugusana tupu mbili au kutokwa na manii kwa kusudia au bila kukusudia .
Nini hedhi?
Hedhi ni damu yenye kumtoka mwanamke baada ya kutimia miaka 9 kwa ajili ya uzima na ada ya kila mwezi.
nifasi ni nini?
Nifasi ni damu inayo mtoka mwanamke baada ya kuzaa.
mambo gani ni haramu kwa mwenye janaba?
Niharamu kwa mwenye janaba: kusali, kutufu, kugusa msahafu, kusoma qurani na kukaa muskitini.
Ni mambo gani ni haramu kwa mwenye hedhi na nifasi?
Ni haramu kwa mwenye hedhi na nifasi kusali, kufunga na kufanya yale yote yalio haramu kwa mwenye janaba.
wallahu aalamu.
yury's law.
UDHU.
FARADHI ZA UDHU.
Faradhi za udhu ni ngapi?
katika uislamu faradhi za udhu ni sita, ambazo ni:
1.kutia nia wakati wa kutawadha
2.kuosha uso
3.kuosha mikono miwili mpaka kwenye vifundo viwili
4.kupaka maji sehemu ya kichwa au nywele za kichwa mpaka uguse ngozi
5.kuosha miguu miwili mpaka kwenye vifundo viwili
6.kufuatanisha( utawadhe kwa kufuata utaratibu ulio pangwa kuanzia 1-6)
Sunna za udhu ni ngapi?
sunna za udhu ni nyingi, kati ya hizo ni:
1.kupiga Bismillahi
2.kupiga mswaki
3.kusukutua
4.kupandisha maji puani
5.kupangusa(kupaka) maji kichwa kizima
6.kupangusa masikio mawili nje na ndani
7.kuzichambua ndevu kama ni nyingi
8.kuasua( kuvichanua) vidole viwili vya mikono miwili na miguu miwili
9.kutanguliza kulia kabla ya kushoto
10.kufanya mara tatu tatu
11.kufuatanisha
12.kuomba dua baada ya kutia udhu.
Mambo mangapi hutengua udhu?
Udhu hutenguka kwa mambo matano, ambayo ni:
1.kutokwa na kitu kwenye moja kati ya njia mbili( TUPU MBILI)
2.kulala bila kuambatanisha makalio yake kwenye ardhi
3.kutokwa na akili kwa kulewa au wazimu au kuzimia
4.kumgusa mwanamke unae weza kumuoa pasi na kizuizi
5.kugusa utupu kwa matumbo ya viganja
Niyepi makuruhu ya udhu?
makuruhu ya udhu ni kutumia maji ovyo, kuzungumza mazungumzo yasio na maana au kutaka msaada kwa mtu mwingine.
Ni mambo gani ni haramu kwa mwenye hadathi ndogo?
mambo ambayo ni haramu kwa mwenye hadathi ndogo ni :
1.kusali
2.kutufu
3.kugusa msahafu
WALLAHU AALAM.
YURY'S LAW.
Faradhi za udhu ni ngapi?
katika uislamu faradhi za udhu ni sita, ambazo ni:
1.kutia nia wakati wa kutawadha
2.kuosha uso
3.kuosha mikono miwili mpaka kwenye vifundo viwili
4.kupaka maji sehemu ya kichwa au nywele za kichwa mpaka uguse ngozi
5.kuosha miguu miwili mpaka kwenye vifundo viwili
6.kufuatanisha( utawadhe kwa kufuata utaratibu ulio pangwa kuanzia 1-6)
Sunna za udhu ni ngapi?
sunna za udhu ni nyingi, kati ya hizo ni:
1.kupiga Bismillahi
2.kupiga mswaki
3.kusukutua
4.kupandisha maji puani
5.kupangusa(kupaka) maji kichwa kizima
6.kupangusa masikio mawili nje na ndani
7.kuzichambua ndevu kama ni nyingi
8.kuasua( kuvichanua) vidole viwili vya mikono miwili na miguu miwili
9.kutanguliza kulia kabla ya kushoto
10.kufanya mara tatu tatu
11.kufuatanisha
12.kuomba dua baada ya kutia udhu.
Mambo mangapi hutengua udhu?
Udhu hutenguka kwa mambo matano, ambayo ni:
1.kutokwa na kitu kwenye moja kati ya njia mbili( TUPU MBILI)
2.kulala bila kuambatanisha makalio yake kwenye ardhi
3.kutokwa na akili kwa kulewa au wazimu au kuzimia
4.kumgusa mwanamke unae weza kumuoa pasi na kizuizi
5.kugusa utupu kwa matumbo ya viganja
Niyepi makuruhu ya udhu?
makuruhu ya udhu ni kutumia maji ovyo, kuzungumza mazungumzo yasio na maana au kutaka msaada kwa mtu mwingine.
Ni mambo gani ni haramu kwa mwenye hadathi ndogo?
mambo ambayo ni haramu kwa mwenye hadathi ndogo ni :
1.kusali
2.kutufu
3.kugusa msahafu
WALLAHU AALAM.
YURY'S LAW.
KUSTANJI
KUSTANJI KATIKA UISLAAMU.
Kustanji ni nini?
kustanji ni kukosha njia mbili ( tupu mbili) kwa maji kwa kuondosha chenye kutoka humo kama mkojo na mavi.
Je, inajuzu kustanji kwa jiwe?
inajuzu kustanji kwa mawe matatu mpaka iondoke najisi pale ilipotoka .
yurys law.
WALLAHU AALAM
Kustanji ni nini?
kustanji ni kukosha njia mbili ( tupu mbili) kwa maji kwa kuondosha chenye kutoka humo kama mkojo na mavi.
Je, inajuzu kustanji kwa jiwe?
inajuzu kustanji kwa mawe matatu mpaka iondoke najisi pale ilipotoka .
yurys law.
WALLAHU AALAM
NAJISI
Najisi ni zipi?
Najisi ni damu, usaha, matapishi, ulevi, mbwa, nguruwe, na maziwa ya mnyama isiyo liwa nyama yake na chenye kutoka kwenye njia mbili( tupu mbili ) isipo kuwa manii kwani hayo ni ( tohara ) na maiti, manyoya yake na mifupa yake ( vyote ni najisi ) isipokuwa maiti ya binaadamu, samaki na nzige.
vipi hutoharika najisi?
nijisi hutoharishwa kwa kukoshwa mahala ilipo ingia najisi kwa maji yalio tohara mpaka iondoke harufu yake na rangi yake na ladha yake ( isipo kuwa najisi ya mbwa na nguruwe na ngozi ya maiti)
Vipi hutahirika najisi ya mbwa na nguruwe?
Najisi ya mbwa na nguruwe hutahirika kwa kukoshwa mahala ilipo kuwa najisi mara saba, moja kati ya hizo kwa mchanga.
Vipi hutoharika ngozi ya maiti?
Ngozi ya maiti hutoharika kwa kudubaghiwa ( kukaushwa ).
yurys law.
WALLAHU AALAM.
Najisi ni damu, usaha, matapishi, ulevi, mbwa, nguruwe, na maziwa ya mnyama isiyo liwa nyama yake na chenye kutoka kwenye njia mbili( tupu mbili ) isipo kuwa manii kwani hayo ni ( tohara ) na maiti, manyoya yake na mifupa yake ( vyote ni najisi ) isipokuwa maiti ya binaadamu, samaki na nzige.
vipi hutoharika najisi?
nijisi hutoharishwa kwa kukoshwa mahala ilipo ingia najisi kwa maji yalio tohara mpaka iondoke harufu yake na rangi yake na ladha yake ( isipo kuwa najisi ya mbwa na nguruwe na ngozi ya maiti)
Vipi hutahirika najisi ya mbwa na nguruwe?
Najisi ya mbwa na nguruwe hutahirika kwa kukoshwa mahala ilipo kuwa najisi mara saba, moja kati ya hizo kwa mchanga.
Vipi hutoharika ngozi ya maiti?
Ngozi ya maiti hutoharika kwa kudubaghiwa ( kukaushwa ).
yurys law.
WALLAHU AALAM.
TOHARA
Tohara ni nini?
tohara ni kitendo ambacho haitosihi sala pasi na kukifanya kama kuondosha najisi, kustanji, kutawadha, kukoga(josho), kutayammam.
Njia za tohara ni zipi?
Njia za tohara ni maji, mchanga, jiwe, kudubaghi( kukausha) kama ngozi na (sabuni)
Niyepi maji ambayo yanafaa kujitoharishia?
Ni kila maji ambayo huteremka kutoka mawinguni au yanayotoka(bubujika) ardhini yasiyo najisi wala yaliotumiwa.
Niyepi maji yaliyo najisika?
Ni maji yaliyo kidogo ambayo yameingia najisi ndani yake.
Ni yepi maji yalio tumika?
Ni maji kidogo yalio tumiwa katika kuondosha hadathi au najisi.
Ni yepi maji kidogo?
Ni maji yasiyo timia kulla mbili
Ni yepi maji mengi?
Ni maji yaliyo timia kulla mbili na zaidi.
Ni nini kulla mbili?
Kulla mbili ni maji yaliyo kiasi cha wakia 148 au yaliyo katika sehemu ambayo huenea birika la maji lenye pembe nne lenye urefu wa dhiraa moja na robo kwa marefu ya kwenda juu na mapana ya kwenda chini ( urefu wa kwenda chini).
wallahu aalamu.
tohara ni kitendo ambacho haitosihi sala pasi na kukifanya kama kuondosha najisi, kustanji, kutawadha, kukoga(josho), kutayammam.
Njia za tohara ni zipi?
Njia za tohara ni maji, mchanga, jiwe, kudubaghi( kukausha) kama ngozi na (sabuni)
Niyepi maji ambayo yanafaa kujitoharishia?
Ni kila maji ambayo huteremka kutoka mawinguni au yanayotoka(bubujika) ardhini yasiyo najisi wala yaliotumiwa.
Niyepi maji yaliyo najisika?
Ni maji yaliyo kidogo ambayo yameingia najisi ndani yake.
Ni yepi maji yalio tumika?
Ni maji kidogo yalio tumiwa katika kuondosha hadathi au najisi.
Ni yepi maji kidogo?
Ni maji yasiyo timia kulla mbili
Ni yepi maji mengi?
Ni maji yaliyo timia kulla mbili na zaidi.
Ni nini kulla mbili?
Kulla mbili ni maji yaliyo kiasi cha wakia 148 au yaliyo katika sehemu ambayo huenea birika la maji lenye pembe nne lenye urefu wa dhiraa moja na robo kwa marefu ya kwenda juu na mapana ya kwenda chini ( urefu wa kwenda chini).
wallahu aalamu.
HUKUMU ZA UISLAMU.
Hukumu za uislamu ni ngapi?
Hukumu za uislamu ni tano, ambazo ni FARADHI, SUNNA, MUBAHA, HARAMU NA MAKRUHU
Faradhi ni nini?
Faradhi ni lile lililolazima kulifanya na atakapo lifanya mukallaf hupata thawabu na atakapo liwacha hupata dhambi (adhabu ).
Aina za faradhi ni ngapi?
faradhi zimegawanyika katika aina kuu mbili, ambazo ni faradhi ya lazima na faradhi ya kutosheleza.
Ni ipi faradhi ya lazima?
Faradhi ya lazima ni ile ilio lazima juu ya kila mukallaf kuifanya, kama vile kusali na kufunga.
mukallaf ni mtu alie baleghe mwenye akili timamu.
Ni ipi faradhi ya kutosheleza?
Faradhi ya kutosheleza ni ile iliyo lazima kwa mukallafina wote kuifanya lakini itakapo fanywa na mukallaf baadhi kati yao basi wote hupata thawabu.
faradhi hii sio lazima ifanywe na kila mtu ila watapo ifanya wachache basi huesabika kuwa watu wote wameitekeleza faradhi hiyo.
Sunna ni nini?
ni jambo linalo pendezeshwa kulifanya ,na mwenye kulifanya hupata thawabu na mwenye kuliwacha hapati dhambi.
Mubaha ni nini?
mubaha ni lile ambalo inajuzu kwa mtu kulifanya na kuliwacha, na mwenye kulifanya hapati thawabu na pia mwenye kuliwacha hapati dhambi.
Haramu ni nini?
Haramu ni jambo lililolazima kwa kila mukallaf kuliwacha, na mwenye kuliwacha hupata thawabu lakini pia mwenye kulifanya hupata dhambi. kama vile kunywa ulevi n.k
Makruhu ni nini?
Makruhu ni jambo linalo pendeza kuliwacha na mwenye kuliwacha hupata thawabu, lakini pia mwenye kulifanya hapati dhambi.
wallahu aalam.
Hukumu za uislamu ni tano, ambazo ni FARADHI, SUNNA, MUBAHA, HARAMU NA MAKRUHU
Faradhi ni nini?
Faradhi ni lile lililolazima kulifanya na atakapo lifanya mukallaf hupata thawabu na atakapo liwacha hupata dhambi (adhabu ).
Aina za faradhi ni ngapi?
faradhi zimegawanyika katika aina kuu mbili, ambazo ni faradhi ya lazima na faradhi ya kutosheleza.
Ni ipi faradhi ya lazima?
Faradhi ya lazima ni ile ilio lazima juu ya kila mukallaf kuifanya, kama vile kusali na kufunga.
mukallaf ni mtu alie baleghe mwenye akili timamu.
Ni ipi faradhi ya kutosheleza?
Faradhi ya kutosheleza ni ile iliyo lazima kwa mukallafina wote kuifanya lakini itakapo fanywa na mukallaf baadhi kati yao basi wote hupata thawabu.
faradhi hii sio lazima ifanywe na kila mtu ila watapo ifanya wachache basi huesabika kuwa watu wote wameitekeleza faradhi hiyo.
Sunna ni nini?
ni jambo linalo pendezeshwa kulifanya ,na mwenye kulifanya hupata thawabu na mwenye kuliwacha hapati dhambi.
Mubaha ni nini?
mubaha ni lile ambalo inajuzu kwa mtu kulifanya na kuliwacha, na mwenye kulifanya hapati thawabu na pia mwenye kuliwacha hapati dhambi.
Haramu ni nini?
Haramu ni jambo lililolazima kwa kila mukallaf kuliwacha, na mwenye kuliwacha hupata thawabu lakini pia mwenye kulifanya hupata dhambi. kama vile kunywa ulevi n.k
Makruhu ni nini?
Makruhu ni jambo linalo pendeza kuliwacha na mwenye kuliwacha hupata thawabu, lakini pia mwenye kulifanya hapati dhambi.
wallahu aalam.
Subscribe to:
Posts (Atom)