KUTAYAMMAMU.

                                                     KUTAYAMMAM.

Nini maana ya kutayammam?
Kutayammamu ni kupangusa uso na mikono kwa mchanga ulio safi (tohara) badala ya kutawadha au kuoga ( kwa kutumia maji).

Faradhi za kutayammam ni ngapi?
Faradhi za kutayammam ni tano,
       1.nia
       2.kuhamisha mchanga kuufikisha kwenye kiungo chenye kupanguswa
       3.kupangusa uso
       4.kupangusa mikono miwili mpaka kwenye vifundo viwili
        5.kufuatanisha 

Ni wakati gani inapaswa kutayammamu?
Inapasa kutayammamu iwapo:
    1.yanapo kosekana maji
    2.inapo hofiwa kutumiwa maji kwa baridi au ugonjwa
   3.yanapo hitajika kwa ajili ya kiu ( kunywa) wanyama watukufu

Ni mambo gani hubatilisha kutayammam?
Hubatilika kutayammam kwa yale yote yenye kubatilisha udhu na kuyaona  maji unapo ingia wakati wa sala na kuritadi.
                                        wallahu aalamu.
  yury's law.

No comments:

Post a Comment