KUSTANJI KATIKA UISLAAMU.
Kustanji ni nini?
kustanji ni kukosha njia mbili ( tupu mbili) kwa maji kwa kuondosha chenye kutoka humo kama mkojo na mavi.
Je, inajuzu kustanji kwa jiwe?
inajuzu kustanji kwa mawe matatu mpaka iondoke najisi pale ilipotoka .
yurys law.
WALLAHU AALAM
No comments:
Post a Comment